ASHANTI United imeendelea kuboronga katika Ligi Daraja la Kwanza, baada ya leo kufungwa 1-0 na Tessema katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.
Hicho kinakuwa kipigo cha pili mfululizo kwa Ashanti ya Ilala, baada ya kufungwa 2-1 na Friends Rangers katika mchezo uliopita Uwanja huo huo.
Mechi nyingine za ligi hiyo leo, Kurugenzi imelazimishwa sare ya 1-1 na Majimaji ya Songea, Lipuli imeifunga 1-0 Kimondo Uwanja wa Samora mjini Iringa Geita imechapwa 2-1 nyumbani na Polisi Tabora, wakati Polisi Mara imefungwa 1-0 nyumbani na JKT Oljoro.
Hicho kinakuwa kipigo cha pili mfululizo kwa Ashanti ya Ilala, baada ya kufungwa 2-1 na Friends Rangers katika mchezo uliopita Uwanja huo huo.
Mechi nyingine za ligi hiyo leo, Kurugenzi imelazimishwa sare ya 1-1 na Majimaji ya Songea, Lipuli imeifunga 1-0 Kimondo Uwanja wa Samora mjini Iringa Geita imechapwa 2-1 nyumbani na Polisi Tabora, wakati Polisi Mara imefungwa 1-0 nyumbani na JKT Oljoro.
![]() |
Ashanti United imeendelea kugawa pointi Ligi Daraja la Kwanza |
0 comments:
Post a Comment