Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga wakishindana kupuliza Vuvuzela katika maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam wakati wa kutangaza Kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 inayoendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager jana.
Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga wakishindana kicheza wakati wa kutangaza kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 inayoendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager katika maeneo ya Buguruni Dar es Salaam jana
Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga wakitembea kwa maandamano wakitangaza Kampeni ya Nani Mtani Jembe inayoendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Buguruni jijini Dar es Salaam jana.
Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga wakishindana kicheza wakati wa kutangaza kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 inayoendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager katika maeneo ya Buguruni Dar es Salaam jana
Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga wakitembea kwa maandamano wakitangaza Kampeni ya Nani Mtani Jembe inayoendeshwa na Bia ya Kilimanjaro Buguruni jijini Dar es Salaam jana.
0 comments:
Post a Comment