MCHEZAJI YANGA SC ALIPOKUTANA NA RAIS ZANZIBAR KWA MJADALA WA SOKA
Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amaan Abeid Karume kulia akiwa na mchezaji wa zamani wa Yanga SC, Abdi Kassim Sadallah 'Babbi' au Balack wa Unguja alipomkaribisha kwa mazungumzo nyumbani kwake visiwani Zanzibar kujadili naye kuhusu soka ya Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Babbi kwa sasa anacheza soka ya kuliwa Vietnam.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment