Mshambuliaji wa Real Madrid, James Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia bao pekee timu yake ya taifa, Colombia ikishinda 1-0 dhidi ya Canada katika mchezo wa kirafiki mjini New Jersey, Marekani leo. Mfungaji huyo bora wa Kombe la Dunia, alifunga bao hilo dakika ya 75 baada ya mpira wa adhabu wa haraka. Mshambuliaji wa Manchester United, Radamel Falcao alifunga kipindi cha kwanza, lakini refa akasema alikuwa tayari amekwishaotea.
Marty Sheargold's replacement is revealed after radio star was dumped over
his sexist outburst about the Matildas
-
Sheargold was let go by Triple M just days after he made the disgraceful
comments about the national team - with a very well-known footy great to
step in b...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment