Mshambuliaji wa Real Madrid, James Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia bao pekee timu yake ya taifa, Colombia ikishinda 1-0 dhidi ya Canada katika mchezo wa kirafiki mjini New Jersey, Marekani leo. Mfungaji huyo bora wa Kombe la Dunia, alifunga bao hilo dakika ya 75 baada ya mpira wa adhabu wa haraka. Mshambuliaji wa Manchester United, Radamel Falcao alifunga kipindi cha kwanza, lakini refa akasema alikuwa tayari amekwishaotea.
Avs faithful makes the trip to the desert for Game 3
-
With the Avalanche on the road for Game 3 and 4, Denver7's Maggy Wolanske
listened to Avs faithful in Vegas who traveled near and far to support the
team d...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment