Mshambuliaji wa Real Madrid, James Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia bao pekee timu yake ya taifa, Colombia ikishinda 1-0 dhidi ya Canada katika mchezo wa kirafiki mjini New Jersey, Marekani leo. Mfungaji huyo bora wa Kombe la Dunia, alifunga bao hilo dakika ya 75 baada ya mpira wa adhabu wa haraka. Mshambuliaji wa Manchester United, Radamel Falcao alifunga kipindi cha kwanza, lakini refa akasema alikuwa tayari amekwishaotea.
Premiership hangover! Broncos stars torn to shreds over horror footage
during shock loss against Parramatta
-
Two Broncos stars have been slammed by a host of NRL commentators following
their team's shock 40-32 defeat against Parramatta at Suncorp Stadium on
Thursday.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment