• HABARI MPYA

    Wednesday, October 15, 2014

    JAMES RODRIGUEZ AING'ARISHA COLOMBIA, FALCAO APIGA BAO REFA ASEMA ALIOTEA

    Mshambuliaji wa Real Madrid, James Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia bao pekee timu yake ya taifa, Colombia ikishinda 1-0 dhidi ya Canada katika mchezo wa kirafiki mjini New Jersey, Marekani leo. Mfungaji huyo bora wa Kombe la Dunia, alifunga bao hilo dakika ya 75 baada ya mpira wa adhabu wa haraka. Mshambuliaji wa Manchester United, Radamel Falcao alifunga kipindi cha kwanza, lakini refa akasema alikuwa tayari amekwishaotea.  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JAMES RODRIGUEZ AING'ARISHA COLOMBIA, FALCAO APIGA BAO REFA ASEMA ALIOTEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top