• HABARI MPYA

    Saturday, June 01, 2013

    FALCAO RASMI ATUA MONACO

    IMEWEKWI JUNI 1, 2013 SAA 1:50 ASUBUHI
    KLABU ya Monaco usiku wa jana imethibitisha kumnasa mshambuliaji wa kimataifa wa Colombia, Radamel Falcao kutoka klabu ya Atletico Madrid.
    Mabingwa hao wa Ligi Daraja la Kwanza Ufaransa, wamepania kuipindua Paris St Germain katika matawi ya juu ya Ligi Kuu Ufaransa.
    New surroundings: Atletico Madrid's Radamel Falcao has joined Monaco
    Monaco imesema katika tuvuti yake kwamba: "Monaco imefikia makubaiano na  Atletico Madrid na mchezani mwenyewe (Radamel Falcao) kwa uhamisho wa msimu  wa 2013-14.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: FALCAO RASMI ATUA MONACO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top