• HABARI MPYA

    Friday, June 28, 2013

    MESSI ATEMBELEA AKADEMI YENYE KINDA MTANZANIA NA KUSEMA, MOURINHO ATATISHA CHELSEA

    IMEWEKWA JUNI 28, 2013 SAA 6:41 MCHANA
    MWANASOKA bora wa dunia, Lionel Messi ametembelea akademi ya Aspire nchini Senegal ambako kuna mchezaji mmoja chipukizi kutoka Tanzania, Orgenes Molel. 
    Na akiwa huko, amesema anaamini kocha mpinzani wake wa zamani, Jose Mourinho atapata mafanikio Chelsea na ameweka wazi, Mreno huyo ni 'bonge la kocha'.
    Mourinho amerejea Chelsea baada ya kumaliza kuitumikia Real Madrid mwishoni mwa msimu uliopita. 
    Kocha huyo wa zamani wa Porto na Inter Milan alikuwa maarufu Hispania kutokana na kukuza upinzani wa Real na Barcelona katika kipindi alichokuwa akifanya kazi Madrid. 
    Man in the middle: Lionel Messi was in Senegal visiting the Aspire Academy in Senegal
    Mtu kati: Lionel Messi alikuwas Senegal kutembelea akademi ya Aspire Academy
    Warm welcome: Messi was there to support the 'Football Combating Malaria' project in the African country
    Mapokezi makubwa: Messi amepata mapokezi makubwa Senegal alipokwenda katika kampeni ya kupiga vita Malaria kwa nchi za Afrika
    Warm welcome: Messi was there to support the 'Football Combating Malaria' project in the African country
    Success: Mourinho replaces Rafa Benitez at Chelsea for his second spell at the club
    Mafanikio: Mourinho amechukua nafasi ya Rafa Benitez Chelsea
    New in town: Carlo Ancelotti (centre) was appointed as Mourinho's replacement in Madrid
    Carlo Ancelotti (katikati) amerithi mikoba ya Mourinho Madrid
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MESSI ATEMBELEA AKADEMI YENYE KINDA MTANZANIA NA KUSEMA, MOURINHO ATATISHA CHELSEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top