• HABARI MPYA

    Sunday, June 16, 2013

    " NGASSA SIMBA WAMENIZINGUA, ONGEA NA BIN KLEB BASI NIJE KUFUNDISHA YANGA B...ITATISHA MBAYAA"

    IMEWEKWA JUNI 16, 2013 SAA 6:10 MCHANA
    Kocha aliyetupiwa virago Simba SC, Mfaransa Patrick Liewig akizungumza na aliyekuwa mchezaji wake katika timu hiyo, Mrisho Ngassa ambaye amehamia Yanga SC jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Liewig alikwenda Taifa kukutana na wachezaji wake aliowafundisha Stellah Abidjan ambao wapo katika kikosi cha Ivory Coast na Ngassa alikuwa mazoezini na timu ya taifa, Taifa Stars. katikati ni Mwandishi wa Habari. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: " NGASSA SIMBA WAMENIZINGUA, ONGEA NA BIN KLEB BASI NIJE KUFUNDISHA YANGA B...ITATISHA MBAYAA" Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top