• HABARI MPYA

    Tuesday, June 18, 2013

    MABINTI WA KITANGA WATEMBELEA MAPANGO YA AMBONI...SHOO YAO NI JUMAMOSI MKWAKWANI, PATAPENDEZA MAANA TOTOZ NI ZA UKWELI

    IMEWEKWA JUNI 18, 2013 SAA 12:30 JIONI

    Washiriki wa shindano la Redd's Miss Tanga 2013, linaloandaliwa na kampuni ya DATK Entertainment, ambalo litafanyika Jumamosi wiki hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakitokeza kwenye moja ya mapango ya Amboni jioni leo, wakati walipotembelea mapango hayo ya kihistoria kujifunza mbalimbali kuhusu mapango hayo. 

    Vimwana hao

    Totoz kikomandoo

    Full Mashauzi..chezea mabinti wa Kitanga weweee

    Kwa mapozi sasa...

    Mbele ya bango la Amboni

    Hapa wanauliza maswali mbalimbali kuhusu mapango hayo, kutoka kwa Ofisa mtoa mwongozo katika mapango hayo

    Wamenogaje???

    Mahojiano na vyombo vya Habari...

    Pozi kwenye mwamba...

    Kila aina ya pozi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MABINTI WA KITANGA WATEMBELEA MAPANGO YA AMBONI...SHOO YAO NI JUMAMOSI MKWAKWANI, PATAPENDEZA MAANA TOTOZ NI ZA UKWELI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top