Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mwenyekiti na Mmiliki wa klabu ya Sunderland, Ellis Short na baadhi ya wanafunzi wanaosoma katika akademi ya Light, Sunderland jana mchana. Klabu hiyo kwa ushirikiano na Symbion Power Tanzania Limited imekubali kujenga akademi ya soka mjini Dar es Salaam kufuatia ombi la Rais Kikwete. Rais Kikwete yupo London kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. (Picha zote na Freddy Maro).
Rais Kikwete akizungumza na watoto wanaohudhuria masomo katika shule hiyo.
Kikwete akizungumza na Mmiliki wa Sunderland, Ellis Short katika Uwanja wa klabu hiyo, Stadium of Light
Rais Kikwete na msafara wake wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi. Wengine pichani ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Symbion’s Power Limited, Paul Hinks (kushoto), Mbunge wa Ilala, Musa Zungu (wa pili kushoto), Waziri wa Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara (wa nne kushoto) na Waziri wa Ardhi, Profesa Anna Tibaijuka (kulia).
Rais Kikwete kulia
Rais Kikwete na watoto...Kitu kama hiki kinakuja Dar es Salaam |