• HABARI MPYA

    Saturday, June 15, 2013

    TAIFA STARS NA TEMBO WA IVORY COAST WAGONGANA MAZOEZINI TAIFA, ILIKUWA...

    IMEWEKWA JUNI 15, 2013 SAA11:40 JIONI

    Mchua misuli wa timu ya soka ya taifa ya Ivory Coast, kulia akimnyoosha viungo kiungo wa timu hiyo, Yaya Toure wakati wa mazoezi yao jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kesho wa Kundi C dhidi ya wenyeji Tanzania kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini Brazil utakaopigwa kuanzia saa 9:00 Alasiri kwenye Uwanja huo huo. Mwingine ni Gervinho.

    Haruna Kone

    Mbwana Samatta wa Tanzania, akiugulia maumivu baada ya kupigwa na mpira chini ya kitovu jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Ivory Coast walianza mazoezi saa 10:00 jioni wakaipisha Taifa Stars baada ya saa moja. 

    Mrisho Ngassa

    Juma Kaseja

    Kevin Yondan kulia na Amri Kiemba kushoto 

    Kutoka kulia Khamis Mcha 'Vialli', Simon Msuva, Frank Domayo, Mwinyi Kazimoto na Vincent Barnabas

    Kutoka kulia Thomas Ulimwengu, Salum Abubakar na Erasto Nyoni

    Kutoka kulia Abdul Razak, Haruna Kone na Gervinho

    Solomon Kalou kushoto na mpira

    Ivory Coast wakijifua
    Simon Msuva kushoto akikabiliana na Aggrey Morris

    Gervinho akimtoka Abdul Razak

    Kevin Yondan akitafuta mbinu za kumtoka Mudathir Yahya kulia

    Mbwana Samatta akiwatoka Aggrey Morris na Mudathir Yahya

    Mbwana Samatta amempa mwili Nadir Haroub 'Cannavaro' ili Simon Msuva afunge

    Vincent Barnabas akimtoka Mrisho Ngassa

    Ngassa akikabiliana na Haruna Athumani aliyelala...kulia Barnabas

    Mbwana Samatta na Kevin Yondan walitanua vifua juu ya goli kwa mazoezi ya viungo

    Mwinyi Kazimoto akionyesha ufundi mazoezini Stars

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: TAIFA STARS NA TEMBO WA IVORY COAST WAGONGANA MAZOEZINI TAIFA, ILIKUWA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top