• HABARI MPYA

    Sunday, June 16, 2013

    TAIFA STARS ILIVYOPAMBANA NA IVORY COAST TAIFA LEO...YAANI MAUMIVU

    IMEWEKWA JUNI 16, 2013 SAA 12:50 JIONI

    Wachezaji wa Ivory Coast wakimpongeza mfungaji wa mabao yao mawili katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji Tanzania, Yaya Toure jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa Kundi C kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini Brazil.

    Beki wa Ivory Coast akijaribu kumdhibiti Mbwana Samatta

    Nori Koffi Christian wa Ivory Coast akimfukuza Mbwana Samatta

    Samatta anafanya safari

    Samatta huyoo

    Samatta anakwenda

    Jean Gosso Gosso akimdhibiti Mwinyi Kazimoto, huku Didier Zakora akiwa tayari kutoa msaada

    Gosso Gosso amemuweka chini Kazimoto

    Kazimoto chini, Gosso Gosso kushoto, kulia Zakora

    Thomas Ulimwengu kulia akitafuta mbinu za kumtoka Didier Zakora

    Ulimwengu na Zakora

    Wachezaji wa Stars wakishangilia bao lao la kwanza

    Ulimwengu akishangilia bao lake

    Shomary Kapombe akitolewa nje baada ya kuumia

    Kapombe akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuumia

    Kapombe akigaagaa kuugulia maumivu

    Penalti ya Yaya Toure

    Salum Abubakar 'Sure Boy' akikatiza

    Shomary Kapombe amepiga kichwa kuokoa

    Geoffrey Serey akiwa ametoa mpira nje dhidi ya Thomas Ulimwengu

    Serey na Ulimwengu

    Ulimwengu akiwatoka Suleiman Bamba na Arthur Boca kushoto 

    Kushoto ni Ulimwengu na Gosso Gosso na kulia Amri Kiemba na Boca, wakati kulia kabisa ni Solomon Kalou

    Amri Kiemba akimdhibiti Boca

    Hatari kwenye lango la Ivory Coast

    Kikosi cha Taifa Stars leo

    Kikosi cha Ivory Coast leo

    Kula tano; Mbwana Samatta akisalimiana na Didier Zakora

    Tumekwisha; Shabiki wa Stars akionyesha ishara ya 'tumekwisha' baada ya bao la nne la Ivory Coast

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: TAIFA STARS ILIVYOPAMBANA NA IVORY COAST TAIFA LEO...YAANI MAUMIVU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top