Bondia Mmexico, Canelo Alvarez akimtazama mpinzani wake, Mrusi Sergey Kovalev mwenye umri wa miaka 36 baada ya kumuangusha chini na kupata ushindi wa Knockout (KO) raundi ya 11 asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand, Grand Garden Arena mjini Las Vegas Marekani. Kwa ushindi huo, Alvarez mwenye umri wa miaka 29 anakuwa bingwa wa WBO uzito Light Heavy na kuweka rekodi ya kushinda mataji manne ya dunia katika uzito tofauti kwenye ngumi za kulipwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham join RB Leipzig and Roma in race for Stuttgart striker Sasa Kalajdzic
-
West Ham are among the clubs monitoring Stuttgart striker Sasa Kalajdzic.
Manager David Moyes remains in the market for a versatile striker after Seb
Halle...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment