Bondia Mmexico, Canelo Alvarez akimtazama mpinzani wake, Mrusi Sergey Kovalev mwenye umri wa miaka 36 baada ya kumuangusha chini na kupata ushindi wa Knockout (KO) raundi ya 11 asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand, Grand Garden Arena mjini Las Vegas Marekani. Kwa ushindi huo, Alvarez mwenye umri wa miaka 29 anakuwa bingwa wa WBO uzito Light Heavy na kuweka rekodi ya kushinda mataji manne ya dunia katika uzito tofauti kwenye ngumi za kulipwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Deebo Trade 'More Likely' Than Brandon Aiyuk After 49ers Draft
Pearsall
-
Amid rumors that they will trade one of their star wide receivers, the San
Francisco 49ers drafted wide receiver Ricky Pearsall in the first round of
the NFL…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment