• HABARI MPYA

    Thursday, December 06, 2018

    TOTTENHAM HOTSPUR YAIKANDAMIZA 3-1 SOUTHAMPTON WEMBLEY

    Son Heung-Min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la tatu dakika ya 55 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika ya tisa na Lucas Moura dakika ya 51, wakati la Southampton  limefungwa na Charlie Austin dakika ya 90 na ushei 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TOTTENHAM HOTSPUR YAIKANDAMIZA 3-1 SOUTHAMPTON WEMBLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top