Son Heung-Min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la tatu dakika ya 55 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika ya tisa na Lucas Moura dakika ya 51, wakati la Southampton limefungwa na Charlie Austin dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eagles DE Brandon Graham shouts 'Dallas sucks!' while onstage at 2024 NFL
Draft, before Philly selects Iowa CB Cooper DeJean
-
Eagles defensive end Brandon Graham couldn't help but take a shot at the
Cowboys when he was brought onstage to announce a pick on Friday night.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment