Xherdan Shaqiri akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 90 na ushei ikiwalaza wenyeji, Burnley 3-1 usiku wa jana Uwanja wa Turf Moor katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na James Milner dakika ya 62 na Roberto Firmino dakika ya 69 wakati la Burnley lilifungwa na Jack Cork dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The NEW hardest puncher in the world! Ex-World's Strongest Man winner Eddie
Hall breaks UFC star Alex Pereira's record on power-measuring machine
-
Former World's Strongest Man Eddie Hall has smashed the record for the
hardest punch ever, just two weeks after UFC star Alex Pereira set the last
benchmark.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment