Nyota wa Brazil, Willian akiwa na tuzo zake za Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chelsea na Mchezaji Bora Chagup la Wachezaji wa Mwaka wa klabu hiyo baada ya kushinda usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mbali na Willian kushinda tuzo hizo, Eden Hazard ameshinda tuzo ya Bao Bora la Mwaka, Ruben Loftus-Cheek ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka, Fikayo Tomori ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa akademi na Katie Chapman ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Kike wa Mwaka PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates Says Chiefs Picking Xavier Worthy Was Best Trade of 2024 NFL
Draft
-
The Kansas City Chiefs didn't move up the board too much to take Texas wide
receiver Xavier Worthy in the 2024 NFL draft, but it was the most savvy
deal so…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment