Nyota wa West Ham United, Winston Reid (katikati) akiruka juu Uwanja wa Upton Park kushangilia bao la ushindi wa 3-2 aliloifungia timu yake dakika ya 80 jana dhidi ya Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Katika mchezo huo uliokwenda sambamba na sherehe za kuuga Uwanja wa Upton Park kwa kuhamia Uwanja wa Olimpiki msimu ujao, mabao mengine ya West Ham yalifungwa na Diafra Sakho dakika ya 10 na Antonio dakika ya 76 wakati ya Mashetani Wekundu yalifungwa na Anthony Martial dakika za 51 na 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal hold positive contract talks with Gabriel Magalhaes as they look to
reward the defender with fresh terms for playing a key role in title charge
-
The Brazil international (left), who has emerged as one of the leaders of
the Gunners title charge, only signed a new contract in October 2022 - but
the cl...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment