Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akiinua taji la Ligue 1 na wachezaji wenzake wa Paris Saint-Germain Uwanja wa Parc des Princes baada ya kuisaidia timu yake hiyo kutwaa tena ubingwa wa Ufaransa, kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Nantes, yeye akifunga mabao mawili. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Lucas Moura na Marquinhos PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE Rumors on Dom Mysterio Surgery, The Rock Ending PG Era, WrestleMania 41
in Vegas
-
Bleacher Report catches you up on the latest news from the WWE Universe.
Dominik Mysterio Reportedly Set for Elbow Surgery; Dom Responds After
showing up on…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment