Mshambuliaji wa Sunderland, Jermain Defoe akiwa amevua jezi kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Chelsea jioni ya leo Uwanja wa Light. Mabao mengine ya Sundeland yamefungwa na Wahbi Khazri na Fabio Borini, wakati ya Chelsea yamefungwa na Diego Costa na Nemanja Matic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stat shows Bruno is Europe's best creator
-
Fernandes leads the way this term in the Premier League and across the
continent.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment