Mshambuliaji wa Sunderland, Jermain Defoe akiwa amevua jezi kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Chelsea jioni ya leo Uwanja wa Light. Mabao mengine ya Sundeland yamefungwa na Wahbi Khazri na Fabio Borini, wakati ya Chelsea yamefungwa na Diego Costa na Nemanja Matic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment