// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AISHI MANULA BAADA YA KUFANYIWA OPERESHENI LEO AFRIKA KUSINI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAISHI MANULA BAADA YA KUFANYIWA OPERESHENI LEO AFRIKA KUSINI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AISHI MANULA BAADA YA KUFANYIWA OPERESHENI LEO AFRIKA KUSINI
KIPA namba moja wa Simba, Aishi Salum Manula baada ya kufanyiwa upasuaji wa nyama za paja nchini Afrika Kusini leo tayari kurejea nyumbani kwa mapumziko. Aishi aliumia kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) Aprili 7, mwaka huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment