Willian akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Chelsea dakika ya 51 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijin London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Mason Mount dakika ya 14, Pedro dakika ya 21 na Olivier Giroud dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shocking footage emerges of Nelson Piquet calling Lewis Hamilton the N-word
-
Piquet, 69, use the racially abusive slur while referring to the seven-time
world champion on a podcast. He had been discussing a crash between
Hamilton an...
Dakika 12 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni