Willian akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Chelsea dakika ya 51 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijin London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Mason Mount dakika ya 14, Pedro dakika ya 21 na Olivier Giroud dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sterling 'understands' Chelsea boos - Pochettino
-
Chelsea manager Mauricio Pochettino says it is important the club's fans
and players 'move on' after Raheem Sterling was booed by supporters.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment