Willian akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Chelsea dakika ya 51 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijin London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Mason Mount dakika ya 14, Pedro dakika ya 21 na Olivier Giroud dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Maguire's last-minute offside winner leaves Ruud van Nistelrooy
RAGING - with no VAR in FA Cup fourth round
-
NATHAN SALT: Replays clearly showed that Maguire scored from an offside
position. There was also plenty of grievance on the Leicester City bench
for the aw...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment