Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi kwa pasi nzuri ya beki Mholanzi, Virgil van Dijk dakika ya 33 ikiwalaza 2-1 AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bournemouth ilitangulia kwa bao la Callum Wilson akimalizia pasi ya Jefferson Lerma dakika ya tisa kabla ya Mohamed Salah kuisawazishia Liverpool dakika ya 25 kwa pas ya Mane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
French Open 2022 Results: Medvedev Win, Shapovalov Upset Highlight Tuesday Results
-
The first round of the 2022 French Open is scheduled to wrap up Tuesday at
Stade Roland Garros in Paris. Daniil Medvedev headlined the action in the
men's...
Dakika 12 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni