Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi kwa pasi nzuri ya beki Mholanzi, Virgil van Dijk dakika ya 33 ikiwalaza 2-1 AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bournemouth ilitangulia kwa bao la Callum Wilson akimalizia pasi ya Jefferson Lerma dakika ya tisa kabla ya Mohamed Salah kuisawazishia Liverpool dakika ya 25 kwa pas ya Mane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Andy Cole became a Premier League Hall of Famer
-
In the week that Andy Cole entered the Premier League Hall of Fame, BBC
Sport looks back at some of the best moments from his career.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment