Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi kwa pasi nzuri ya beki Mholanzi, Virgil van Dijk dakika ya 33 ikiwalaza 2-1 AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bournemouth ilitangulia kwa bao la Callum Wilson akimalizia pasi ya Jefferson Lerma dakika ya tisa kabla ya Mohamed Salah kuisawazishia Liverpool dakika ya 25 kwa pas ya Mane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘It smelled like bodies had been left to rot’: Survivors of Air India
disaster ‘forced to return to clear up crash site’
-
ON THE GROUND: Namita Singh visits the Flight 171 crash site in Ahmedabad,
where those who were inside the medical college at the time recall their
brush w...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment