Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi kwa pasi nzuri ya beki Mholanzi, Virgil van Dijk dakika ya 33 ikiwalaza 2-1 AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bournemouth ilitangulia kwa bao la Callum Wilson akimalizia pasi ya Jefferson Lerma dakika ya tisa kabla ya Mohamed Salah kuisawazishia Liverpool dakika ya 25 kwa pas ya Mane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steve Clarke makes a strong case for the defence ahead of Haiti clash, but
will he shake up his centre pairing for Boston opener?
-
Well, you wouldn't expect Steve Clarke to revel in his team's newfound
scoring habit when there is a show of defensive discipline to appreciate…
would you?
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment