RAIS DK JOHN POMBE MAGUFULI ALIVYOSHUHUDIA YANGA SC WAKIWAADHIBU WATANI WAO, SIMBA SC JANA TAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa. Dk. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono mashabiki wa soka waliohudhuria mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya Yanga SC na Simba jana Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0 bao pekee la kiungo mshambuliaji Mghana, Barnard Morrison dakika ya 44.
Rais Dk. John Pombe Magufuli akifurahia burudani ya pambano la watani wa jadi jana
Rais Dk. John Pombe Magufuli akifuatilia kwa makini pambano la watani wa jadi jana
Mashabiki wa Yanga wakiwa wamebeba bango la kumshukuru Rais Dk. John Pombe Magufuli jana
Mashabiki wa Yanga wakimfurahia Rais Dk. John Pombe Magufuli jana
Item Reviewed: RAIS DK JOHN POMBE MAGUFULI ALIVYOSHUHUDIA YANGA SC WAKIWAADHIBU WATANI WAO, SIMBA SC JANA TAIFA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Öffentliches Training am Dienstag in Brackel
-
Am Dienstag, 24. April 2024, ab ca. 10:30 Uhr trainieren Borussia Dortmunds
Profis auf dem Trainingsgelände Hohenbuschei in Brackel öffentlich.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment