Ross Barkley akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 64 kufuatia Willian kufunga la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London hivyo kutinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steve Clarke makes a strong case for the defence ahead of Haiti clash, but
will he shake up his centre pairing for Boston opener?
-
Well, you wouldn't expect Steve Clarke to revel in his team's newfound
scoring habit when there is a show of defensive discipline to appreciate…
would you?
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment