Ross Barkley akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 64 kufuatia Willian kufunga la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London hivyo kutinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Six arrested after fight at Epsom Derby day races
-
Six people have been arrested on suspicion of grievous bodily harm and
affray at Epsom Downs Racecourse.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment