• HABARI MPYA

    Wednesday, March 04, 2020

    CHELSEA YAIPIGA LIVERPOOL 2-0 NA KUITOA KOMBE LA FA

    Ross Barkley akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 64 kufuatia Willian kufunga la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London hivyo kutinga Robo Fainali 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAIPIGA LIVERPOOL 2-0 NA KUITOA KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top