Ross Barkley akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 64 kufuatia Willian kufunga la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London hivyo kutinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'What a start!' Graham gives Scotland early lead against France
-
Darcy Graham scores an early try to give Scotland the lead over France in
the Six Nations at Murrayfield.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment