NEYMAR AFUNGA PSG YAICHAPA DORTMUND 2-0 NA KUTNGA ROBO FAINALI
Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza PSG dakika ya 28, kabla ya Juan Bernat kufunga la pili dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes Jijini Paris kwenye mchezo wa marudano wa Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. PSG inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Ujerumani na inakwenda Robo Fainali kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2016PICHA ZAIDI GONGA HAPA
-
YOUNG Africans have reignited their hopes of reaching the quarterfinals of
the CAF Champions League following a vital 1-0 victory over Al Hilal at
the C...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment