Umati wa watu uliojitokeza kwenye mazishi ya aliyewahi kuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba SC, Asha Muhaji jioni ya leo kwenye makaburi ya Mwinyi Mkuu, Magomeni Jijini Dar es Salaam. Asha Muhaji aliyekuwa mwandishi wa habari za michezo katika magazeti mbalimbali nchini, alifariki dunia jana mchana katika hosptali ya Hindu Mandal Jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu
NFL Exec on Caleb Williams: 'He's Built Different' Than Panthers' Bryce
Young
-
Like Bryce Young, the No. 1 pick of the 2023 draft, prospective top 2024
selection Caleb Williams is smaller than the average NFL quarterback. The
difference…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment