Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 71 kabla ya Mariano Diaz kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Kwa ushindi huo, Real Madrid inarejea kileleni La Liga sasa ikiizidi pointi moja Bacelona (56-55) baada ya wote kucheza mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roberto De Zerbi sends defiant message to relegation rivals West Ham after
Tottenham's first win in 118 days - but admits fears over Dominic Solanke
and Xavi Simons injuries
-
De Zerbi was not entirely satisfied with the performance at Wolves and
thought the long winless run ate away at confidence when his team failed to
capitali...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment