Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Dk. Mshindo Msolla akimkaribisha na kumkabidhi zawadi maalum Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmad Ahmad jana kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Uwanja wa Taifa Jijin Dar es Salaam kama kumbukumbu yake juu ya timu hiyo. Yanga ilishinda 1-0 bao pekee la kiungo Mghana, Bernard Morrison.
Pistons Legend Bill Laimbeer Says He'll Never Coach Again Despite 3 WNBA Title Wins
-
Former Las Vegas Aces head coach Bill Laimbeer ruled out a return to the
bench, <a...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni