Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Dk. Mshindo Msolla akimkaribisha na kumkabidhi zawadi maalum Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmad Ahmad jana kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Uwanja wa Taifa Jijin Dar es Salaam kama kumbukumbu yake juu ya timu hiyo. Yanga ilishinda 1-0 bao pekee la kiungo Mghana, Bernard Morrison.
Awkward moment footy star is spotted making X-rated comment during poignant
Anzac Day ceremony ahead of Collingwood vs Essendon
-
During the Australian national anthem, he was seen turning to fellow Pies
star Steele Sidebottom and appeared to say 'I f***ing s*** myself',
referrinbg to...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment