KIUNGO wa Simba SC, George Lucas ‘Gazza’ akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Yanga SC, Kenneth Pius Mkapa katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (sasa Ligi Kuu) Machi 27, mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) Jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Said Nassor Mwamba ‘Kizota’ marehemu yote dakika ya 47 na 57 kwa pasi za Zamoyoni Mogella, wakati la watani wao lilifungwa na Edward Chumila dakika ya 75.
Steve Clarke makes a strong case for the defence ahead of Haiti clash, but
will he shake up his centre pairing for Boston opener?
-
Well, you wouldn't expect Steve Clarke to revel in his team's newfound
scoring habit when there is a show of defensive discipline to appreciate…
would you?
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment