Real Madrid imepoteza nafasi ya kurudi kileleni katika La Liga baada ya kuchapwa 2-1 Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin, Sevilla. Mabao ya Real Betis yalifungwa na Sidnei Rechel da Silva Junior dakika ya 40 na Cristian Tello dakika ya 82, wakati bao pekee la Real Madrid limefungwa na Karim Benzema dakika ya 45 na ushei kwa penalti. Sasa Real Madrid inazidiwa pointi mbili na Barcelona (58-56) katika msimamo wa La Liga PICHA ZADI GONGA HAPA
NFL fans complained to the Feds about Kendrick Lamar and Serena Williams
over Super Bowl show... and here's why
-
Kendrick Lamar's polarizing Super Bowl halftime performance drew over 100
complaints - including some about his feud with Drake - according to a
report.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment