Real Madrid imepoteza nafasi ya kurudi kileleni katika La Liga baada ya kuchapwa 2-1 Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin, Sevilla. Mabao ya Real Betis yalifungwa na Sidnei Rechel da Silva Junior dakika ya 40 na Cristian Tello dakika ya 82, wakati bao pekee la Real Madrid limefungwa na Karim Benzema dakika ya 45 na ushei kwa penalti. Sasa Real Madrid inazidiwa pointi mbili na Barcelona (58-56) katika msimamo wa La Liga PICHA ZADI GONGA HAPA
Jubilant Man City fans stream onto Etihad turf in pitch invasion leaving Pep Guardiola in tears
-
City fans were told to get off the Etihad Stadium pitch after they became
the latest set of supporters to invade the playing surface after watching
their t...
Dakika 5 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni