Real Madrid imepoteza nafasi ya kurudi kileleni katika La Liga baada ya kuchapwa 2-1 Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin, Sevilla. Mabao ya Real Betis yalifungwa na Sidnei Rechel da Silva Junior dakika ya 40 na Cristian Tello dakika ya 82, wakati bao pekee la Real Madrid limefungwa na Karim Benzema dakika ya 45 na ushei kwa penalti. Sasa Real Madrid inazidiwa pointi mbili na Barcelona (58-56) katika msimamo wa La Liga PICHA ZADI GONGA HAPA
Man City vs Chelsea - FA Cup semi-final: Live score, team news and updates
as Pep Guardiola's side look to bounce back after Champions League exit -
PLUS action from the Premier League's 3pm kick-offs
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Manchester City take on Chelsea in the FA Cup semi-final at Wembley
Stadium.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment