// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
NDANDA FC YATOZWA FAINI SH 1, 000,000 KWA KUINGILIA WA ‘UANI’ MECHI NA MTIBWA SUGAR GAIRO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINENDANDA FC YATOZWA FAINI SH 1, 000,000 KWA KUINGILIA WA ‘UANI’ MECHI NA MTIBWA SUGAR GAIRO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
NDANDA FC YATOZWA FAINI SH 1, 000,000 KWA KUINGILIA WA ‘UANI’ MECHI NA MTIBWA SUGAR GAIRO
TIMU ya Ndanda FC imetozwa faini ya Tsh 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la timu hiyo kuingia uwanjani kwa kupitia mlango usio rasmi na kuliacha gari tupu likipita katika mlango rasmi katika mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar Februari 29, 2020 uwanja wa CCM Gairo mkoani Morogoro. Adhabu inatolewa kwa uzingativu wa kanuni ya 14(43) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment