FRANK DOMAYO AIFUNGIA BAO PEKEE AZAM FC YAICHAPA ALLIANCE FC 1-0 MECHI YA LIGI KUU LEO MCHANA UHURU
Wachezaji wa Azam FC wakimpongeza mwenzao, Frank Domayo (kulia) baada ya kufunga bao pekee la ushindi dakika ya 85 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Alliance FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara mchana wa leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Item Reviewed: FRANK DOMAYO AIFUNGIA BAO PEKEE AZAM FC YAICHAPA ALLIANCE FC 1-0 MECHI YA LIGI KUU LEO MCHANA UHURU
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Netherlands' Timber out of World Cup with injury
-
Arsenal defender Jurrien Timber is ruled out of the Netherlands' World Cup
campaign with a groin injury, while Brazil's Neymar is making good progress
from...
0 comments:
Post a Comment