• HABARI MPYA

    Saturday, March 07, 2020

    FRANK DOMAYO AIFUNGIA BAO PEKEE AZAM FC YAICHAPA ALLIANCE FC 1-0 MECHI YA LIGI KUU LEO MCHANA UHURU

    Wachezaji wa Azam FC wakimpongeza mwenzao, Frank Domayo (kulia) baada ya kufunga bao pekee la ushindi dakika ya 85 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Alliance FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara mchana wa leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FRANK DOMAYO AIFUNGIA BAO PEKEE AZAM FC YAICHAPA ALLIANCE FC 1-0 MECHI YA LIGI KUU LEO MCHANA UHURU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top