Mshambuliaji Mnigeria, Odion Ighalo akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 28 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, LASK kwenye mchezo wa kwanza wa Hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Linzer Jijini Linz. Mabao mengine ya Manchester United yamefungwa na Dan James dakika ya 58, Juan Mata dakika ya 82, Mason Greenwood dakika ya 90 na Andreas Pereira dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United 'attempting to HIJACK Lyon move for Tyrell Malacia - who shares agent with de Jong
-
Lyon had reportedly secured a verbal agreement for the Feyenoord star. But
United are hoping to gazump their move for Malacia, who shares an agent
with Fre...
Dakika 4 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni