Mshambuliaji Mnigeria, Odion Ighalo akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 28 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, LASK kwenye mchezo wa kwanza wa Hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Linzer Jijini Linz. Mabao mengine ya Manchester United yamefungwa na Dan James dakika ya 58, Juan Mata dakika ya 82, Mason Greenwood dakika ya 90 na Andreas Pereira dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 NFL Draft: Penn State QB Drew Allar goes to Steelers as possible Aaron
Rodgers heir
-
Drew Allar played in six games last season due to an ankle injury.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment