• HABARI MPYA

    Tuesday, March 03, 2020

    ARSENAL YAIPIGA PORTSMOUTH NA KUSONGA MBELE FA CUP

    Eddie Nketiah akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 51,  kufuati Sokratis Papastathopoulos kufunga la kwanza dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Portsmouth kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Fratton Park 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAIPIGA PORTSMOUTH NA KUSONGA MBELE FA CUP Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top