Odion Ighalo akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika za 41 na 70 kufuatia Luke Shaw kufunga la kwanza dakika ya 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Derby County kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Pride Park hivyo kutinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrice Evra puts his £3.5m five-bedroom Manchester mansion on the market -
but why is there a mural of a Man City legend on wall?
-
Manchester United legend Patrice Evra is selling his former home - which
features a mini mural of an arch-rival who once rented it.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment