Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 81 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hivyo kurejea kileleni ikifikisha pointi 58 katika mchezo wa 27, sasa ikiizidi pointi mbili Real Madrid ambayo leo tamemyana na Real Betis kuanzia Saa 5:00 usiku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steve Clarke makes a strong case for the defence ahead of Haiti clash, but
will he shake up his centre pairing for Boston opener?
-
Well, you wouldn't expect Steve Clarke to revel in his team's newfound
scoring habit when there is a show of defensive discipline to appreciate…
would you?
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment