Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 81 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hivyo kurejea kileleni ikifikisha pointi 58 katika mchezo wa 27, sasa ikiizidi pointi mbili Real Madrid ambayo leo tamemyana na Real Betis kuanzia Saa 5:00 usiku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrice Evra puts his £3.5m five-bedroom Manchester mansion on the market -
but why is there a mural of a Man City legend on wall?
-
Manchester United legend Patrice Evra is selling his former home - which
features a mini mural of an arch-rival who once rented it.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment