Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 81 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hivyo kurejea kileleni ikifikisha pointi 58 katika mchezo wa 27, sasa ikiizidi pointi mbili Real Madrid ambayo leo tamemyana na Real Betis kuanzia Saa 5:00 usiku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Just not good enough' - Klopp takes blame for derby defeat
-
Liverpool manager Jurgen Klopp says his side were "just not good enough" in
their 2-0 Premier League defeat to Merseyside rivals Everton at Goodison
Park.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment