Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 81 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hivyo kurejea kileleni ikifikisha pointi 58 katika mchezo wa 27, sasa ikiizidi pointi mbili Real Madrid ambayo leo tamemyana na Real Betis kuanzia Saa 5:00 usiku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Not Fergie time, offside time' - Leicester rue lack of VAR as Man Utd
progress
-
Ruud van Nistelrooy says his Leicester side were beaten not in "Fergie
time, but offside time" as Harry Maguire's controversial late winner sends
Mancheste...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment