Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 81 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hivyo kurejea kileleni ikifikisha pointi 58 katika mchezo wa 27, sasa ikiizidi pointi mbili Real Madrid ambayo leo tamemyana na Real Betis kuanzia Saa 5:00 usiku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
42.000 Euro Geldstrafe für den BVB
-
Das Sportgericht des Deutschen Fußball-Bundes (DFB) hat Borussia Dortmund
wegen eines unsportlichen Verhaltens seiner Anhänger mit einer Geldstrafe
in Höhe...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni