• HABARI MPYA

    Tuesday, March 24, 2020

    MTANZANIA ANAYECHEZA SOKA YA KULIPWA MOROCCO, SIMON MSUVA AAMUA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA CORONA KWA KUOGELEA

    Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva akcheza kwenye bwawa la kuogelea nchini Morocco ambako anachezea klabu ya Difaa Hassan El-Jadidi pamoja na Mtanzania mwenzake, beki Nickson Kibabage. Kwa sasa Ligi karibu zote duniani zimesimamishwa kufuatia mlipuko wa virusi vya corona na wachezaji wote wamepumzika nyumbani kwao  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTANZANIA ANAYECHEZA SOKA YA KULIPWA MOROCCO, SIMON MSUVA AAMUA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA CORONA KWA KUOGELEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top