Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva akcheza kwenye bwawa la kuogelea nchini Morocco ambako anachezea klabu ya Difaa Hassan El-Jadidi pamoja na Mtanzania mwenzake, beki Nickson Kibabage. Kwa sasa Ligi karibu zote duniani zimesimamishwa kufuatia mlipuko wa virusi vya corona na wachezaji wote wamepumzika nyumbani kwao
Real Madrid agree deal to sign Tchouameni
-
Laliga giants Real Madrid have agreed on a deal to sign AS Monaco
midfielder Aurelien Tchouameni. RMC Sports reports that the Carlo
Ancelotti-coached side ...
Dakika 6 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni