Delle Alli (kulia) akishangilia na na mchezaji mwenzake, Harry Kane (kushoto) baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la pili dakika ya 18 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Newcastle United Uwanja wa St James Park leo. Bao la kwanza la Spurs limefungwa na Jan Vertonghen dakika ya nane wakati la Newcastle limefungwa na Joselu dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville hits out at Chelsea over their 'bizarre' huddle around Paul
Tierney - insisting the 'just-for-show' routine 'isn't conning anybody' -
and explains where the referee went wrong
-
Gary Neville has ripped into Chelsea over the bizarre incident that saw
their players conduct a pre-match huddle around referee Paul Tierney before
their 1...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment