Mbabe wa UFC, Conor McGregor akipiga ngumi begi mjini Nevada, Marekani jana wakati wa mazoezi yake ya wazi mbele ya Waandishi wa Habari kuonyesha alivyo fiti kuelekea pambano lake na Floyd Mayweather Agosti 26, mwaka huu ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas nchini humo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Saturday, August 12, 2017
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment