Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 33 ikiilaza 2-1 Fiorentina ya Italia jana Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa kuwania Kombe la Santiago Bernabeu. Bao la kwanza la Real lilifungwa na Borja Mayoral aliyemalizia krosi ya Ronaldo dakika ya saba wakati la Fiorentina lilifungwa na Jordan Veretout dakika ya nne. Ikumbukwe Ronaldo yupo kwenye kifungo cha mechi tano za mashindano baada ya kumsukuma refa kwenye mechi ya Super Cup ya Hispania dhidi ya Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment