Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 33 ikiilaza 2-1 Fiorentina ya Italia jana Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa kuwania Kombe la Santiago Bernabeu. Bao la kwanza la Real lilifungwa na Borja Mayoral aliyemalizia krosi ya Ronaldo dakika ya saba wakati la Fiorentina lilifungwa na Jordan Veretout dakika ya nne. Ikumbukwe Ronaldo yupo kwenye kifungo cha mechi tano za mashindano baada ya kumsukuma refa kwenye mechi ya Super Cup ya Hispania dhidi ya Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World malaria day: Rotary Healthy Communities to tackle disease in 6 Kebbi
LGAs
-
…. Kebbi traditional rulers, NOA backs campaign From Olanrewaju Lawal,
Birnin Kebbi The Rotary Healthy Communities Challenge, a project under the
Rotary ...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment