Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 33 ikiilaza 2-1 Fiorentina ya Italia jana Uwanja wa Santiago Bernabeu katika mchezo wa kuwania Kombe la Santiago Bernabeu. Bao la kwanza la Real lilifungwa na Borja Mayoral aliyemalizia krosi ya Ronaldo dakika ya saba wakati la Fiorentina lilifungwa na Jordan Veretout dakika ya nne. Ikumbukwe Ronaldo yupo kwenye kifungo cha mechi tano za mashindano baada ya kumsukuma refa kwenye mechi ya Super Cup ya Hispania dhidi ya Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LIV Golf's Pat Perez opts out of the lawsuit against the PGA Tour with 'no ill feelings'
-
Pat Perez has become the latest LIV Golf star to remove himself from the
antitrust lawsuit leveled at the PGA Tour. Carlos Ortiz has since removed
himself ...
Dakika 44 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni