Mshambuliaji chipukizi wa Manchester United, Marcus Rashford akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 70 akimalizia krosi ya Henrikh Mkhitaryan katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Leicester City Uwanja wa Old Trafford. Bao la pili la United limefungwa na Marouane Fellaini dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton are in talks to sign Villarreal left-back and Nottingham Forest target Pervis Estupinan
-
The former Watford left-back was a target for Nottingham Forest and they
could face competition to capture his signature.
Dakika 40 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni