Neymar akikimbia baada ya kuifungia bao la kwanza Paris Saint Germain dakika ya 31 kati ya mawili, lingine dakika ya 90 na ushei usiku wa Jumapili katika ushindi wa 6-2 dhidi ya Toulouse kwenye mchezo Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Parc des Princes. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Adrien Rabiot dakika ya 35, Edinson Cavani dakika ya 75, Javier Pastore dakika ya 82 na Layvin Kurzawa dakika ya 84 wakati ya Toulouse iliyomaliza pungufu kufuatia kiungo wake Mtaliano, Marco Verratti kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 69 baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano yalifungwa na Max Gradel dakika ya 18 na Thiago Silva aliyejifunga dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kimi Antonelli wins MAIDEN Grand Prix as Lewis Hamilton takes first Ferrari
podium - but Lando Norris and Oscar Piastri endure woeful day in China
-
JONATHAN McEVOY IN SHANGHAI: Only Max Verstappen has won at a younger age,
in Barcelona in 2016, aged 18 years and 228 days.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment