Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos akimpiga Fabian Schar wa Deportivo La Coruna katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Riazor mjini La Coruna usiku wa Jumapili, lakini wachezaji wote wakawa na bahati ya kutoonyeshwa kadi yoyote licha ya kugombana kipindi cha pili. Real iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo anayetumikia adhabu ilishinda 3-0 mabao ya Gareth Bale dakika ya 20, Casemiro dakika ya 27 na Toni Kroos dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs' Xavier Worthy Dispels Weight Concerns: 'Not Going to Be a Problem'
in NFL
-
Kansas City Chiefs' newest wide receiver Xavier Worthy doesn't think his
weight will be a concern as he begins his NFL journey. Worthy weighed in
under the…
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment