Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos akimpiga Fabian Schar wa Deportivo La Coruna katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Riazor mjini La Coruna usiku wa Jumapili, lakini wachezaji wote wakawa na bahati ya kutoonyeshwa kadi yoyote licha ya kugombana kipindi cha pili. Real iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo anayetumikia adhabu ilishinda 3-0 mabao ya Gareth Bale dakika ya 20, Casemiro dakika ya 27 na Toni Kroos dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jurgen Klopp opens up on why he quit 'intense' Liverpool job for first time
as he plays the ultimate company man, sipping Red Bull cans at
controversial new role unveiling
-
After agreeing to take the role of Global Head of Soccer at Red Bull back
in October, Klopp has now officially started and it promises to be a busy
opening...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment