Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos akimpiga Fabian Schar wa Deportivo La Coruna katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Riazor mjini La Coruna usiku wa Jumapili, lakini wachezaji wote wakawa na bahati ya kutoonyeshwa kadi yoyote licha ya kugombana kipindi cha pili. Real iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo anayetumikia adhabu ilishinda 3-0 mabao ya Gareth Bale dakika ya 20, Casemiro dakika ya 27 na Toni Kroos dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nebraska star pitcher Jordy Frahm joins Cornhuskers coaching staff
following conclusion of her college playing career
-
Frahm was a four-time All-American with Oklahoma and Nebraska, winning two
Women's College World Series national championships with the Sooners.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment