Mwanasoka Bora wa Ulaya na Dunia, Cristiano Ronaldo akiinua juu taji la Super Cup ya Ulaya kusherehekea pamoja na Kombe la La Liga walilotwaa msimu uliopita baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu kufuatia mchezo dhidi ya Valencia uliomalizika kwa sare ya 2-2. Wengine ni Sergio Ramos (kulia) na taji la la Liga na Marcello na aliyebeba Kombe la Mfalme. Real pia ni mabingwa wa dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The NEW hardest puncher in the world! Ex-World's Strongest Man winner Eddie
Hall breaks UFC star Alex Pereira's record on power-measuring machine
-
Former World's Strongest Man Eddie Hall has smashed the record for the
hardest punch ever, just two weeks after UFC star Alex Pereira set the last
benchmark.
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment