Mwanasoka Bora wa Ulaya na Dunia, Cristiano Ronaldo akiinua juu taji la Super Cup ya Ulaya kusherehekea pamoja na Kombe la La Liga walilotwaa msimu uliopita baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu kufuatia mchezo dhidi ya Valencia uliomalizika kwa sare ya 2-2. Wengine ni Sergio Ramos (kulia) na taji la la Liga na Marcello na aliyebeba Kombe la Mfalme. Real pia ni mabingwa wa dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marketers fight Dangote over plans to block petrol import permits
-
A fresh crisis is brewing in Nigeria's downstream petroleum sector over a
lawsuit instituted by the Dangote Petroleum Refinery asking the court to
nullif...
26 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment