• HABARI MPYA

    Sunday, August 27, 2017

    LIVERPOOL YAIFANYIA MAMBO YA AJABU ARSENAL...4-0

    Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza mwenzao, Sadio Mane baada ya kufunga bao la pili dakika ya 40 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 17, Mohamed 'Mo' Salah dakika ya 57 na Daniel Sturridge dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAIFANYIA MAMBO YA AJABU ARSENAL...4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top