Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza mwenzao, Sadio Mane baada ya kufunga bao la pili dakika ya 40 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 17, Mohamed 'Mo' Salah dakika ya 57 na Daniel Sturridge dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manny Ramirez's son Lucas homers TWICE against Team USA as Brazil puts
scare into heavy favorites at WBC
-
Team Brazil, whose players struggle to find organized leagues, gave Team
USA a scare in the World Baseball Classic, thanks to a leadoff home run
from a pla...
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment