Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza mwenzao, Sadio Mane baada ya kufunga bao la pili dakika ya 40 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 17, Mohamed 'Mo' Salah dakika ya 57 na Daniel Sturridge dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment