Marcos Alonso akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chelsea akimtungua kipa wa Tottenham, Hugo Lloris dakika ya 88 akimalizia kazi nzuri ya Pedro katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Wembley, London. Chelsea imeshinda 2-1 na bao lake la kwanza alifunga Alonso pia wakati la Spurs limefungwa na Michy Batshuayi aliyejifunga dakika 82 PICHA ZAIDI YA GONGA HAPA
Iran protesters sent warning by Met Police with thousands set to gather in
London for al-Quds Day demonstration
-
Around 12,000 people are expected to attend the al-Quds Day demonstration
in London on Sunday
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment