Marcos Alonso akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chelsea akimtungua kipa wa Tottenham, Hugo Lloris dakika ya 88 akimalizia kazi nzuri ya Pedro katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Wembley, London. Chelsea imeshinda 2-1 na bao lake la kwanza alifunga Alonso pia wakati la Spurs limefungwa na Michy Batshuayi aliyejifunga dakika 82 PICHA ZAIDI YA GONGA HAPA
Michael Chandler out to prove he's not past-prime at UFC Freedom 250
-
Michael Chandler still feels he's in his prime, and he's out to prove that
against Mauricio Ruffy at UFC Freedom 250.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment