Marcos Alonso akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chelsea akimtungua kipa wa Tottenham, Hugo Lloris dakika ya 88 akimalizia kazi nzuri ya Pedro katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Wembley, London. Chelsea imeshinda 2-1 na bao lake la kwanza alifunga Alonso pia wakati la Spurs limefungwa na Michy Batshuayi aliyejifunga dakika 82 PICHA ZAIDI YA GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment