Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Rashid Mfaume Kawawa (sasa marehemu) akipeana mkono na Nahodha wa Maji Maji ya Songea, Omar Kapilima (kulia) kabla ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika (sasa Ligi ya Mabingwa) dhidi ya Al Ahly ya Misri Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam mapema mwaka 1999. Maji Maji ilifungwa 3-0.
A closer look at why women are leaving tech industry in droves
-
Despite the increasing number of women who join the technology industry in
Rwanda, the latest data shows, the number of those who stay and thrive in
the ...
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni