Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Rashid Mfaume Kawawa (sasa marehemu) akipeana mkono na Nahodha wa Maji Maji ya Songea, Omar Kapilima (kulia) kabla ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika (sasa Ligi ya Mabingwa) dhidi ya Al Ahly ya Misri Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam mapema mwaka 1999. Maji Maji ilifungwa 3-0.
Manny Ramirez's son Lucas homers TWICE against Team USA as Brazil puts
scare into heavy favorites at WBC
-
Team Brazil, whose players struggle to find organized leagues, gave Team
USA a scare in the World Baseball Classic, thanks to a leadoff home run
from a pla...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment