• HABARI MPYA

    Sunday, August 27, 2017

    KAPTENI MKUCHIKA NA MKWASA WAKIISHUHUDIA YANGA YAO IKIKABWA KOROMEO NA LIPULI

    Mbunge wa Newala kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kapteni Mstaafu, George Huruma Mkuchika (kulia) ambaye pia ni Mwenyekiti Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya timu yake anayoipenda, Yanga SC dhidi ya Lipuli FC ya Iringa leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa
    Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa leo ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAPTENI MKUCHIKA NA MKWASA WAKIISHUHUDIA YANGA YAO IKIKABWA KOROMEO NA LIPULI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top