// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAYWEATHER NA MCGREGOR WAKUTWA NA UZITO SAWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAYWEATHER NA MCGREGOR WAKUTWA NA UZITO SAWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, August 26, 2017

    MAYWEATHER NA MCGREGOR WAKUTWA NA UZITO SAWA

    Mabondia Floyd Mayweather na Conor McGregor wakitambiana baada ya kupimwa uzito jana ukumbi wa  T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani na wote kukutwa na kilogramu 69.8 kuelekea pambano lao la uzito wa Super-Welter usiku wa leo ukumbi wa MGM Grand Arena, ambalo kwa Afrika Mashariki tutalishuhudia asubuhi ya Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAYWEATHER NA MCGREGOR WAKUTWA NA UZITO SAWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top