Alexandre Lacazette akisikitika baada ya refa kukaa bao lake aliloifungia Arsenal ambalo lingekuwa la kusawazisha katika kipigo cha 1-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City Uwanja wa Bet365 leo. Bao pekee la Stoke limefungwa na Jese Rodriguez dakika ya 47 katika mchezo ambao Arsenal walinyimwa na penalti baada ya Hector Bellerin kuangushwa na Mame Biram Diouf kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Glenavon move off bottom spot with win at Crusaders
-
Glenavon climb off the bottom of the Irish Premiership table with a 3-0
victory over Crusaders, who now occupy the automatic relegation spot.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment