Alexandre Lacazette akisikitika baada ya refa kukaa bao lake aliloifungia Arsenal ambalo lingekuwa la kusawazisha katika kipigo cha 1-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City Uwanja wa Bet365 leo. Bao pekee la Stoke limefungwa na Jese Rodriguez dakika ya 47 katika mchezo ambao Arsenal walinyimwa na penalti baada ya Hector Bellerin kuangushwa na Mame Biram Diouf kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Housing: Ogun set to inaugurate Gateway Aviation Village
-
…plans 200 housing units in Phase 2 Laide Raheem, Abeokuta The Ogun State
government says it has completed the construction of the first phase of
the Ga...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment