Alexandre Lacazette akisikitika baada ya refa kukaa bao lake aliloifungia Arsenal ambalo lingekuwa la kusawazisha katika kipigo cha 1-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City Uwanja wa Bet365 leo. Bao pekee la Stoke limefungwa na Jese Rodriguez dakika ya 47 katika mchezo ambao Arsenal walinyimwa na penalti baada ya Hector Bellerin kuangushwa na Mame Biram Diouf kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment