Alexandre Lacazette akisikitika baada ya refa kukaa bao lake aliloifungia Arsenal ambalo lingekuwa la kusawazisha katika kipigo cha 1-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City Uwanja wa Bet365 leo. Bao pekee la Stoke limefungwa na Jese Rodriguez dakika ya 47 katika mchezo ambao Arsenal walinyimwa na penalti baada ya Hector Bellerin kuangushwa na Mame Biram Diouf kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Xabi Alonso reveals he has held private talks with Estevao over lack of
game time - and amid reports in Brazil the forward is concerned about his
Blues future
-
KIERAN GILL: Alonso has held private talks with Estevao Willian amid
speculation that Chelsea's Brazilian boy wonder is concerned with his lack
of opportun...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment