Mshambuliaji mpya, Mohamed Salam aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 39 kutoka Roma akiifungia Liverpool bao lililoelekea kuwa la ushindi dakika ya 57 Uwanja wa Vicarage Road timu hiyo ikitoka sare ya 3-3 na wenyeji, Watford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Sadio Mane dakika ya 29 na Roberto Firmino kwa penalti dakika ya 55, wakati ya Watford yamefungwa na Stefano Okaka dakika ya nane, Abdoulaye Doucoure dakika ya 32 na Miguel Britos dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Kirk Cousins Throws to Falcons WRs amid Injury Rehab After Penix Jr.
Pick
-
Kirk Cousins has officially thrown his first pass as an Atlanta Falcon. The
Falcons shared a video Thursday of the veteran quarterback throwing to wide…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment